Habari za Punde

Wanafunzi Madrsatul Maahad Islaah wartembelea Zanzibar leo Pemba

 WANAFUNZI wa Almadrasatul Maahad Isslaah ya Ukunjwi Jimbo la Gando, wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Shirika la Magazeti ya Serikali Ofisi ya Pemba, Bakari Mussa Juma wakati walipotembela ofii hiyo Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 WANAFUNZI wa Almadrasatul Maahad Isslaah ya Ukunjwi Jimbo la Gando, wakiangalia habari zilizomo ndania ya Gazeti la Zanzibar leo, wakati walipotembelea ofisi ya shirika la Magazeti ya Serikali ofisi ya Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WANAFUNZI wa Almadrasatul Maahad Isslaah ya Ukunjwi Jimbo la Gando,wakiangalia Gazeti la Zanzibarleo wakati walipotembelea Ofisi ya Shirika la Magazeti ya Serikali Ofisi ya Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

MKUU wa Shirika la Magazeti ya Serikali Ofisi ya Pemba, Bakari Mussa Juma akiitikia dua iliyotolewa na wanafunzi wa Almadrasat Maahad Islaah ya Ukunjwi Jimbo la Gando, mara baada ya kumaliza ziara yao ya kutembelea ofisi hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.