WATU wanaodhaniwa kuwa ni wavuvi ambao ni
raia wa visiwa vya Comoro, waki nje ya hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba,
wakiwa na furaha baada ya kupatiwa matibabu, kufuatia kubururuwa na maji tokea
Mei 11, mwaka huu na kuonekana juzi Juni 24 bahari ya Mkoani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
BAADHI ya wananchi na watendaji wa uhamiaji wilaya ya Mkoani, wakiangalia boti iliokuwa imewabeba wavuvu raia wa Comro, wakiwa bandari ya Mkoani Pemba, wakifanya usafi, ambapo wavuvi hao walipotea tokea Mei 11 mwaka huu na kuoneana Juni 24 katika bahari ya Mkoani, (Picha na Haji Nassor, Pemba)
MSAIDIZI nahodha wa ‘fiber’ iliokuwa imebeba
wavuvi sita wa Comoro na kupotea tokea Mei 11 na kuoneakana juzi bahari ya
Mkoani Pemba Yunnus Maishe Mussa, ambae anazungumza Kiswahili taratibu,
akizungumza na waandishi wa habari juu ya mkasa uliowakumba, (Picha na Haji Nassor, Pemba)
No comments:
Post a Comment