Mgombea Urais kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwa na mgombea wa Urais wa Tanzania Mh Edward Lowassa leo katika ukumbi wa Salama Bwawani..Mh Lowassa alimsindikiza Maalim Seif Shariff Hamad kwenda kuchukua fomu.
Viongozi na wageni maalum walimsindikizMgombea Urais kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kwenye hafla ya uchukuwaji fomu.Kutoka kushoto ni Bi Fatma Fereji, Mhe Abubakar Khamis Bakary, Mzee hassan Nassor moyo, Mgombea mweza wa Urais Tanzania, Mhe juma Duni na mgombea urais wa tanzania kupitia UKAWA mhe Edward Lowassa.
Makamo wa Kwanza wa Rais ambae pia ni Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Wananchi CUF, MH Maalim. Seif Sharif Hamad akipokea fomu za Uteuzi kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar MH: Jecha Salum Jecha tarehe 23/08/2015 katika ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Malindi Mjini Zazibar
Mgombea Urais kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akionesha fomu za kugombea Urais mara alipokabidhiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar MH: Jecha Salum Jecha akitoa ufafanuzi kuhusu fomu za kugombea uchaguzi kabla ya kukabidhi kwa Mgombea wa CUF , Maalim Seif Shariff Hamad
Mgombea Urais kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na wanahabri ( hawapo pichani) baada ya kuchukua fomu za kugomea Urais Zanzibar
No comments:
Post a Comment