Mzee akiwa amevaa Picha ya Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,John Magufuli leo katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Vijana wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali.
Wananchi waliojitokeza katika ufunguzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam leo. Picha na Avila Kakingo na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii.
No comments:
Post a Comment