Mkutano Mkuu wa Chadema wantangaza Juma Duni kuwa Mgombea Mwenza wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tangazania Mhe Edward Lowassa leo jioni wakati wa mkutano huo uliofanyika Jijiji Dar-es-Salaam.
Mhe Juma Duni atauungana na Mhe Lowasaa kupeperusha bendera ya Chadema kuwania nafasi ya Urais katika uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu 2015
No comments:
Post a Comment