Hawa Vijana wakiwa katika matani katika mtaa wa Muembe makumbi, Utani mwengine haufai unaweza kuleta ugomvi wakati wa utani huo kama nilivyowakuta wakati nikiwa katika pita yangu katika mitaa hiyo maeneo hya makutano ya barabara ya Bububu na kwenda Muembe makumbi wakiwa katika kona hiyo wakipigana.
BASHUNGWA ACHUKUA FOMU KUTETEA UBUNGE JIMBO LA KARAGWE.
-
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Innocent L.
Bashungwa amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea nafasi ya Ubunge
katika Jimbo la K...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment