Hawa Vijana wakiwa katika matani katika mtaa wa Muembe makumbi, Utani mwengine haufai unaweza kuleta ugomvi wakati wa utani huo kama nilivyowakuta wakati nikiwa katika pita yangu katika mitaa hiyo maeneo hya makutano ya barabara ya Bububu na kwenda Muembe makumbi wakiwa katika kona hiyo wakipigana.
DKT. KIKWETE: NCHI ZA AFRIKA ZINAHITAJI KUWEKEZA ZAIDI KATIKA TAFITI NA
KILIMO
-
Na.Vero Ignatus ARUSHA
Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Umasikini umefanyika Jijini Arusha kwa
lengo la Kuwaunganisha wataalamu wa utafiti na watunga ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment