Habari za Punde

Wanahabari wafundwa juu ya kuandika habari za Uchaguzi


 MENEJA wa Baraza la Habari Tanzania MCT afisi ya Zanzibar Suleiman Seif Omar, akifunga mafunzo ya siku tano kwa waandishi wa habari wa Zanzibar, juu ya kuandika habari za uchaguzi yalioandaliwa na BBC, kwa kushirikiana na MCT na kufanyika Shangani mjini Zanzibar, (Picha na Haji Nassor).

BAADHI ya waandishi wa habari waliohudhuria mafunzo ya kuandika habari za uchaguzi, yalioandaliwa na BBC kwa kushirikiana na Baraza la Habari Tanzania MCT na kufanyika Shangani mjini Zanzibar, (Picha na Haji Nassor,).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.