Habari za Punde

Maadhimisho ya Wiki ya unyonyeshaji Zanzibar,kitaifa yafanyika Chokocho, Pemba

 AFISA lishe kutoka Hospitali ya Micheweni Zahra Abrahman wa kwanza kushoto, akitoa maelezo katika Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji Zanzibar, kwa Mkurugenzi wa ZIPA Pemba Fadhila Hassan, katikati wakati alipofika katika chumba cha kutoa huduma ya mama na watoto, huko katika skuli ya Chokocho Msinyi Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MWAKILISHI wa UNICEF Dk Kamulisha Eliphanse, akitosa salamu za UNICEF katika kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji Zanzibar, kitaifa ilifanyika huko katika Skuli ya Chokocho Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MKURUGENZI wa Usalama na Afya kazini Suleiman Khamis Ali, akizungumza na wananchi mbali mbali katika kilele cha maadhimisho ya Wiki ya unyonyeshaji Zanzibar,kitaifa ilifanyika katika skuli ya Chokocho kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 AFISA Mdhamini Wizara ya Afya Pemba Dk Mkasha Hija Mkasha, akitoa salamu za Wizara ya afya katika kilele cha Wiki ya Unyonyeshaji Zanzibar, ambayo kitaifa ilifanyika Chokocho kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MDHAMINI wa mamlaka ya Uwekezaji na Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA)Fadhila Hassan, akizungumza na wananchi wa Chokocho Wilaya ya Mkoani, kwa aniaba ya Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, katika kilele cha Wiki ya Unyonyeshaji Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MDHAMINI wa mamlaka ya Uwekezaji na Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA)Fadhila Hassan, akizungumza na wananchi wa Chokocho Wilaya ya Mkoani, kwa aniaba ya Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, katika kilele cha Wiki ya Unyonyeshaji Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.