Habari za Punde

Mkutano wa wadau wa habari ulioandaliwa na Press Club Pemba

 KATIBU Mkuu wa Pemba Press Club Khatib Juma Mjaja, akitoa maelezo Mchache kwa washiriki wa kongamano la wadau wa Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu, lililoandaliwa la PPC kwa kushirikiana na Umoja wa Vilabu vya habari Tanzania (UTPC), huko katika ukumbi wa Uwanja wa Michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 BAADHI ya washiriki wa Kongamano la wadau wa Habari kisiwani Pemba, lililoandaliwa na PPC kwa kushirikiana na UTPC, Huko katika uwanja wa michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, akimkabidhi katiba katibu mkuu wa Pemba Press Club, kuwa ndio mwongozo wao wa Utendaji kwa viongozi hao wapya wa PPC, makabidhiano hayo yamefanyika huko katika uwanja wa michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 UONGOZI Mpya wa Pemba Press Club, ukiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi wa PPC na Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, baada ya kuuzindua rasmi uongozi huo huko katika ukumbi wa Uwanja wa michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe: Mwanajuma Majid Abdalla, akifungua kongamano la wadau wa habari kisiwani Pemba, kuelekea Uchaguzi Mkuu lililoandaliwa na PPC kwa kushirikiana na UTPC, huko katika Ukumbi wa Uwanja wa Michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 NAIBU katibu Mkuu wa Pemba Press Club Ali Mbarouk Omar, akiwasilisha mada ya wajibu wa wadau na Vyombo vya Habari, katika kudumisha hali ya Amani na Utulivu wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu, katika kongamano la wadau wa habari huko katika Ukumbi wa Uwanja wa Michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MWENYEKITI wa Pemba Press Club (PPC) kisiwani Pemba Saidi Mohamed Ali, akifungua kongamano la wadau wa habari kuelekea Uchaguzi Mkuu, lililoandaliwa na PPC na huko katika ukumbi wa kiwanja cha Michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 KAMANDA wa Polisi Mkoa wa kusini Pemba Juma Yussuf Ali, akieleza jambo katika kongamano la wadau wa habari kisiwani Pemba kuelekea Uchaguzi Mkuu, huko katika uwanja wa michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa kusini Pemba Juma Yussuf Ali, akieleza jambo katika kongamano la wadau wa habari kisiwani Pemba kuelekea Uchaguzi Mkuu, huko katika uwanja wa michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

MRATIBU wa Tume ya Uchaguzi Pemba Ali Mohamed Dadi, akitoa ufafanuzi wa mambo mbali mbali ambayo yametolewa katika kongamano hilo la wadau wa habari kisiwani Pemba, kuelekea Uchaguzi Mkuu huko katika uwanja wa michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.