Afisa MichezoWizara ya Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo Bw. Gordon Nsajigwa akimpatia
mmoja wa wachezaji wa Timu yaTaifa ya mpira wa miguu ya wanawake tiketi jana jioni tayari kwa
safari yakuelekea Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games), kushoto aliyevaa sutini Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.
Leonard Thadeo.
Wachezaji wa Timu ya Taifa wakipanda ndege ya Shirika
la Ndege la Tanzania (Air Tanzania)jana jioni tayari kwa kuanza safari
ya kuelekea nchini Congo Brazaville kwa ajili ya Mashindano ya Afrika (All African
Games)
Wachezaji wa Timu ya Taifa wakipanda ndege ya Shirika
la Ndege la Tanzania (Air Tanzania)jana jioni tayari kwa kuanza safari
ya kuelekea nchini Congo Brazaville kwa ajili ya Mashindano ya Afrika (All African
Games)
No comments:
Post a Comment