Leo ni Leo Mwanza... maana wakazi wa jiji La Mwanza na vitongoji vyake wamejitokeza kwa wingi kumpokea mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli. Huku Maelfu ya watu wamejitokeza kwenda CCM Kirumba jijini Mwanza kuhudhuria mkutano wa kufunga kampeni leo Oktoba 24, 2015.
Kila mmoja akijikaza kujongea CCM Kirumba, Mwanza.
Akina mama nao wamo.....
Vijana wamehamasika kweli kweli....
Leo hapakaliki...
MAONESHO YA UTALII NA UWEKEZAJI ZANZIBAR; FURSA KWA WANANCHI KUJUA VIVUTIO
VYA UTALII VILIVYOPO NGORONGORO
-
Na Mwandishi Wetu, Dimani, Fumba Zanzibar
Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) imeshiriki kwa mafanikio
katika Maonesho ya Pili ya Utalii na U...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment