Habari za Punde

Matokeo rasmi ya Urais majimbo mengine mawili ya Malindi na Kwahani kutoka ZEC




Jimbo la Malindi


ACT - 4
TADEA - 3
ADC - 10
FP - 6
CCK - 3
CCM - 2,334
CHAUMA - 7
CUF - 5,667
MAKINI - 3
JAHAZI -2
NRA - 0
TLP - 1
SAU - 2
DP - 1

Jimbo la Kwahani

  CUF    2879

  CCM   5960


Matokeo mengine yataendelea kutangazwa leo kuanzia saa tano asubuhi. 

Hadi sasa tayari matokeo ya majimbo manne yameshatolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar

Tutawaleteeni kadri tutakavyoyapata moja kwa moja kutoka Tume ya Uchaguzi Zanzibar ( ZEC) kwenye kituo chake cha kutangaza matokeo Bwawani

2 comments:

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.