Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na wananchi na wanachama wa CCM katika uwanja wa Urafiki,jimbo la Shaurimoyo katika wilaya ya mjini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo.
Vijana wa Chama cha Mapinduzi wakiimba wimbo wa kuhamasisha wakati wa Mkutano wa Kampeni za CCM zilizofanyika leo uwanja wa Urafiki jimbo la Shaurimoyo Wilaya ya mjini mkoa wa Mjini Magharibi,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein.
Mjumbe wa Kamati kuuya CCM na Makamo wa Pili wa Rais balozi Seif Ali Iddi akiwasalimia wananchi na wanaCCM katika Mkutano wa hadhara wa kampeni za Uchaguzi katika uwanja wa mpira Urafiki jimbo la Shaurimoyo Mjini Unguja leo.
Vijana wa Chama cha Mapinduzi wakiongozana kuelekea katika uwanja wa Urafiki katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika leo,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein.
Watoto wakiwa wamevalia sare za Chama cha Mapinduzi walizopewa na Wazazi wao ili kukisherehekea Chama cha Mapinduzi katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika uwanja wa Urafiki Jimbo la Shaurimoyo Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini wakati alipowasili uwanja wa Urafiki katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM Jimbo la Shaurimoyo leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM wakati alipowasili uwanja wa Urafiki Jimbo la Shaurimoyo leo katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM zinazoendelea.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono Wanachama wa CCM na Wananchi wakati alipowasili uwanja wa Urafiki Jimbo la Shaurimoyo leo katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM zinazoendelea, (kushoto) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) wakiimba wimbo wa Chama na Viongozi wengine wakati alipowasili uwanja wa Urafiki Jimbo la Shaurimoyo leo katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM zinazoendelea.
Vijana wa Chamacha Mapinduzi walipokuwa wakiimba maalum wa kuhamasisha wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika uwanja wa Urafiki Jimbo la Shaurimoyo Mjini Unguja,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein.[Picha na Ikulu.]
No comments:
Post a Comment