Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vya Ndani na Nje wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri kutangazwa kwa Matokeo ya Kura ya Urais wa Zanzibar kwa sasa tayari majimbo manne tayari yameshatangazwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC.
Habari : THRDC yatoa Jacketi za usalama kwa JOWUTA
-
.Yamuomba Rais Maridhiano ya Kisiasa
Na. Vero Ignatus ,Dar es Saalam.
MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania(THRDC) umekabidhi jaketi
za usa...
7 hours ago
Hizi picha watu wako bwawani ni za Muda mrefu mbona hamtupi update nini kinaendelea
ReplyDelete