Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vya Ndani na Nje wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri kutangazwa kwa Matokeo ya Kura ya Urais wa Zanzibar kwa sasa tayari majimbo manne tayari yameshatangazwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC.
DKT. TULIA AKOSHWA NA CRDB BANK MARATHON IKIKUSANYA BILIONI 2 KUSAIDIA AFYA
NA UWEZESHAJI JAMII
-
Dar es Salaam, 17 Agosti 2025 - Maelfu ya wakimbiaji na wapenda michezo
kutoka ndani na nje ya Tanzania wamejitokeza leo katika viwanja vya The
Green, Oys...
56 minutes ago
Hizi picha watu wako bwawani ni za Muda mrefu mbona hamtupi update nini kinaendelea
ReplyDelete