Habari za Punde

Waandishi wa Habari wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani Wakisubiri Kutangazwa kwa Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar Usiku Huu.

Ukumbi wa Salama Bwawani Usiku huu ukiwa katika hali ya kusubiriwa kutolewa kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar 2015. 
Waandishi wa habari wa Kituo cha Utangazaji cha ZBC Zanzibar wakiwa ukumbi wa Salama Bwawani kuripoti moja kwa moja kutoka ukumbini hapa kuwataarifu Wananchi matokeo ya Uchaguzi Zanzibar.muda wowote yanaweza kutangazwa ukumbi hapo baadhi ya majimbo ya uchaguz, yatatangazwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Mafundi mitambo wa ZBC wakiweka sawa mitambo yao kwa ajili kutowa Taarifa ya Matokea ya Uchaguzi wa Zanzibar kutoka moja kwa moja katika ukumbi wa Salama Bwawani.
Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali wakisubiri kutangazwa kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu usiku huu na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC.
Waandishi wa Habari wa Kituo cha Redio cha Swahiba FM wakiwa tayari kuripoti matokeo ya Uchaguzi kutoka Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar.
Mawakala wa Vyama Vyama vya Siasa wakiwa katika ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri kutangazwa kwa Matokea ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar.
Waandishi wakiwa nje ya Ukumbi wa Salama wakisubiri kutangazwa kwa Matokeo ya Uchaguzi Zanzibar usiku huu, kupata habari za Uchaguzi. 
Waangalizi wa Ndani wa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri kutangazwa kwa Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar usiku huu.
Mawakala wa Vyama vya Siasa Zanzibar wakisubiri kutangaza kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar usiku huu.
Wapiga picha Zanzibar wakiwa wakiwa usiku huu katika ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri kutangazwa kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar. 
Waandishi wa habari na Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar 2015, wakiwa katika ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar. 
Mpiga Picha za Vidio Zanzibar wa Zanzibar Cable akipata kahawa wakati wa kusubiri kutangazwa kwa matokeo usiku huu katika ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.