Habari za Punde

Zoezi la Upigaji wa Kura katrika Uchaguzi Mkuu Zanzibar Likiendelea kwa Amani na Utulivu katika Vituo vha Kupigia Kura na Wananchi Wengi Wemejitokeza Kupiga Kura Zanzibar katika Vituo Mbalimbali.


Zoezi la Upigaji Kura Zanzibar likiendelea kwa Amani na Utulivu katika vituo vya kupigia Kura Zanzibar na Wananchi wakijitokeza kwa wingi kutumia haki yao ya msingi ya kupiga Kura. Wananchi wa Jimbo la Mtoni wakiwa katika kituo cha kupigia Kura cha Garagara.      
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiwasili katika Kituo cha Wapiga Kura cha Garagara Mtoni Zanzibar kwa ajili ya kupiga Kura leo mchana. 
















  









No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.