Habari za Punde

Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD Awatembela Wananchi wa Jimbo lake wa Maeneo ya Masumbani, Chumbuni Kiungani na Chumbuni, Waliopata Athari za Mvua za Vuli Zinazoendelea Kunyesha Zanzibar.

Mbunge wa Jimbo la Chumbini Zanzibar Mhe Usssi Salum Pondeza AMJAD akiwatembelea Wananchi wake waliopata madhara ya kuingiliwa na Maji katika Nyumba zao wakati wa mvua za Vuli zilizonyesha hivi karibu akiwa na Sheha wa Shehia ya Masumbani wakikagua maeneo hayo.
Mbunge wa Chumbuni Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akipata maelezo ya moja wa mtaro wa maji machafu unaosafirisha maji ya mvua katika Shehia ya Masumbani ambao huzidiwa na maji na kujaa hahi kufikia katika makaazi ya Wananchi wa Shehia hiyo.
Mhe Mbunge akiwa katikac ziara ya kutembelea maeneo ya Jimbo lake ambalo wakaazi wake wameingilia na maji wakati wa mvua ilionyeshi hivi karibuni na kuagalia jinsi ya kuufanyia mategenezo kuweza kupitisha maji na kuondoa Tatizo la kujaa kwa maji wakati wa mvua katika eneo hilo la masumbani Jimbo la Chumbuni Zanzibar.
Sheha wa Shehia ya Masumbani akimuonesha maeneo yanayojaa maji wakati wa Mbunge wa Jimbo hilo alipowatembelea Wananchi wake waliopata madhara ya kuingiliwa na maji ya mvua majumbani kwao. 
Mbunge wa Chumbuni akiwa katika ziara ya kutembelea Wananchi wake Jimboni kuwafariji.akiwa na Viongozi wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar.
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akimsikiliza Sheha wa Shehia ya Masubani wakati wa ziara yake kuwafariji Wananchi wa Jimbo lake walioingiliwa na Maji wakati wa Mvua hivi karibuni. 
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwagaia pipi watoto wa madrasa ya masumbani wakati wa ziara yake katika Jimbo lake kuwafariji Wananchi walioingiliwa na maji majumbani mwao.

Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe. Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwafariji Wananchi wa Jimbo lake waliopata madhara ya mvua za vuli kuingiliwa na maji katika makaazi yao, na kutoa msaada kwa Wakaazi hao.  
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe. Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwafariji Wananchi wa Jimbo lake waliopata madhara ya mvua za vuli kuingiliwa na maji katika makaazi yao, na kutoa msaada kwa Wakaazi hao. 
Wananchi waliopata madhara ya mvua za vuli wakimsikiliza Mbunge wao alipofika kuwatembelea na kuwafariji na kuwakabidhi msaada. 
Wananchi waliopata madhara ya mvua za vuli wakimsikiliza Mbunge wao alipofika kuwatembelea na kuwafariji na kuwakabidhi msaada. 
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe Ussi Pondeza AMJAD, akimkabidhi msaada wa vyakuma mmoja wa Mwananchi wa Jimbo lake Shehia ya Karakana waliopata maafa hayo ya mvua hivi karibu. 
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe Ussi Pondeza AMJAD, akimkabidhi msaada wa chakula mmoja wa Mwananchi wa Jimbo lake Shehia ya Karakana waliopata maafa hayo ya mvua hivi karibu. 
Mbunge wa Chumbuni Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akimsikliza Mwananchi wa jimbo lake wakati alipofika kuwatembelea Wananchi wa Jimbo hilo waliopata maafa ya kuingiliwa na maji katika majumba yao eneo la masumbani Zanzibar.
Mbunge wa Chumbuni akiwa Watoto wa Shehia ya Masumbani akiwagaia peremende, wakati akiwa katika ziara yake.
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe. Ussi Salum Pondeza AMJAD akitembelea Shehia ya Charakana ilioko katika jimbo lake kuwafariji Wananchi waliopata maafa ya mvua za vuli zinazonyesha katika visiwa vya Unguja.
Mbunge wa Chumbuni Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwa katika ziara yake katika Shehia ya Karakana kuwatembelea Wananchi wa Jimbo lake waliopata maafa ya mvua za Vuli.
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akipata maelezo kutoka kwa Sheha wa Karakana wakati wakiwa katika eneo linaliothirika kwa kujaa maji wakati wa mvua ikinyesha na kuahidi kulichukulia hatua ya kuchimbwa kwa mtaro mkubwa wa maji kuweza kupitisha maji hayo wakati wa mvua ikinyesha. kuondoa kero za Wananchi wa eneo hilo.
Sheha wa Shehia ya Karakana akiwa na Mbunge wa Jimbo la Chumbuni akitembelea maeneo yaliopata madha ra kujaa maji wakati wa mvua za vuli zinazonyesha na baadhi ya Wananchi wa Jimbo hilo kuingilia na maji makaazi yao. 
Mbunge wa Chumbuni akitembelea Maeneo ya Karakana yaliojaa maji.
Mbunge wa Chumbuni akiwa katika ziara yake Jimboni kwake 
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akizungumza na waandishi wa habari jinsi atakavyomaliza matatizo ya kujaa kwa maji katika makaazi ya wananchi wake katika hatua za kuchimba mtaro mkubwa utakaoweza kupitisha maji hadi pwani ya maruhubi.
Sheha wa Shehia ya Karakana akizungumza na Wananchi waliopata maafa ya mvua kuingilia wa maji majumbani kwao wakati wa ziara ya Mhe Mbunge AMJAD alipofanya ziara kujionea maeneo hayo na kutoa msaada wa vyakula kwa wananchi hao.na kuahidin kulifanyika kazi tatizo hilo. 

Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe Ussi Pondeza AMJAD, akimkabidhi msaada wa vyakuma mmoja wa Mwananchi wa Jimbo lake wa Shehia ya Karakana waliopata maafa hayo ya mvua hivi karibu. 
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe Ussi Pondeza AMJAD, akimkabidhi msaada wa vyakuma mmoja wa Mwananchi wa Jimbo lake wa Shehia ya Karakana waliopata maafa hayo ya mvua hivi karibu. 
Wananchi wa Jimbo la Chumbuni eneo la Shehia ya Kiungani Chumbini wakitowa maelezo kwa Mbunge wao wakati alipofika kuwafariji na kutoa msaada wa vyakula kwa Wananchi hayo waliopata maafa ya mvua za vuli kujaa maji katika makaazi yao.
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwafariji Wananchi wa Shehia ya Chumbuni Kiungani waliopata maafa ya kuingiliwa na maji wakati wa mvua zilizonyesha hivi karibuni.
Mwananchi wa Chumbuni Kiungani akitowa maelezo kwa Mbunge wake Mhe Ussi Pondeza AMJAD wakati alipofika kuwafariji na kutowa msaada kwa Wananchi hao waliopata maafa ya mvua za vuli kujaa kwa maji katika makazi yao.
Mwananchi wa Chumbuni Kiungani akitowa maelezo kwa Mbunge wake Mhe Ussi Pondeza AMJAD wakati alipofika kuwafariji na kutowa msaada kwa Wananchi hao waliopata maafa ya mvua za vuli kujaa kwa maji katika makazi yao.




Mwananchi wa Chumbuni Kiungani akitowa maelezo kwa Mbunge wake Mhe Ussi Pondeza AMJAD wakati alipofika kuwafariji na kutowa msaada kwa Wananchi hao waliopata maafa ya mvua za vuli kujaa kwa maji katika makazi yao.

Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe Ussi Pondeza AMJAD akizungumza na Wananchi wa Chumbuni Kiungani wakati wa ziara yake kuwatembelea na kuwafariji kwa baadhi ya Wananchi waliopata maafa ya kuingilia na maji ya mvua katika majumba yao
Mwananchi wa Chumbuni Kiungani akitowa maelezo kwa Mbunge wao wakati wa ziara yake kutembelea eneo hilo lililopata maafa ya kujaa kwa maji wakati wa mvua ilionyesha hivi karibuni.
Imetayarishwa na OthmanMapara.Blogspots.
Zanzinews.com 

2 comments:

  1. Inasikitisha sana kuwa mpaka kafikia ubunge bado hajajuwa vazi la kuvaa kwenye jua wala mvua ....anatembelea sehemu kama hio akiwa na kiatu cha kwende kwenye bunge bado kweli bado tuko nyuma sana ......na itatuchukuwa mda mrefu sana kujuwa alama za wakati

    ReplyDelete
  2. Pondeza hapo inabidi uweke raincoat na rainboots akiba nyumbani ili unapoingia kazini kukiwa na mvua unatinga ukiwa tayari tayari. Wapo ccm wenye nia ya kweli ya kuisaidia jamii tatizo ni wahafidhina wachache ndio wanaoharibu kila kitu.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.