MWANDISHI wa habari wa shirika la Magazeti ya serikali Zanzibar alieoko Pemba, Haji Nassor, akizungumza na Mratibu wa wanawake na watoto shehia ya Shengejuu wilaya ya Wete Salma Abdalla Hamad na sheha wa shehia hiyo Omar Faki Kombo juu ya athari za mimba za utotoni, (Picha na Ali Suleiman, Pemba)
Mgombea Urais wa Jmhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia Chama Cha Wananchi
(CUF) Amechukua Fomu Ofisi za Tume ya Uchaguzi INEC
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya
Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa
kuwa Mg...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment