ni Biashara iliyonza miaka mingi sana ambapo wafanyabiashara hii mara nyingi huishi mashamba na kuleta maziwa mjini kila siku kufuatia oda maalum kwenye majumba ambayo huwapelekea maziwa fresh ya N'gombe. Wafanya biashara wa mazkiwa huwa hawalali mjini wakimaliza hurudi mashamba kwa ajili ya kujiandaa na siku nyengine
MADAKTARI SEKOUTOURE WAFANIKISHA KUTOA JIWE LA GRAM 800 KWENYE KIBOFU CHA
MKOJO
-
Madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekoutoure wamefanikiwa
kufanya upasuaji na kuondoa Jiwe ndani ya kibofu cha Mkojo kwa Mwanamke
mw...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment