ni Biashara iliyonza miaka mingi sana ambapo wafanyabiashara hii mara nyingi huishi mashamba na kuleta maziwa mjini kila siku kufuatia oda maalum kwenye majumba ambayo huwapelekea maziwa fresh ya N'gombe. Wafanya biashara wa mazkiwa huwa hawalali mjini wakimaliza hurudi mashamba kwa ajili ya kujiandaa na siku nyengine
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa
Amrepokea Tuzo ya Kuendeleza Ufugaji Nyuki Nchini. Watanzania Tuendelee
Kumtunza Mdudu Nyuki
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizundua Mpango wa Kuendeleza Sekta ya
Ufugaji Nyuki kwa Tanzania iliyo Bora katika Maadhimisho ya Siku ya Nyuki
Duniani kw...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment