Balozi Amina Salum Ali akizungumza na wageni mbali mbali waliohudhuria katika hafla ya kumpongeza Mhe. Asha Abdalla Juma kwa kuteuliwa kuwa Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Mjini Magharib.
Vijana wa Skaunt wakimvalisha shada la mauwa Mhe. Asha Abdalla Juma kwenye sherehe hiyo.
Mhe. Asha Abdalla Juma akizungumza na wageni mbalimbali waliohudhuria katika sherehe ya kumpongeza kwa kuchaguliwa kuwa Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Mjini Magharib.
Mhe. Asha Abdalla Juma wakikumbatiana kwa furaha na Balozi Amina Salum Ali mara baada ya kuzungumza na wageni mbalimbali. (PICHA ABDALLA OMAR -MAELEZO ZANZIBAR)
WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI YAZINDUA RASMI ZOEZI LA KULINDA MAZALIA YA SAMAKI
ZIWA VICTORIA
-
-Maboya 32 yawekwa katika mipaka ya Makulia ya Samaki
-Vifaranga vya Samaki 10,000 vya pandikizwa kwenye Mwalo wa Shadi Ziwa
Victoria.
Serikali, kupitia...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment