Katibu Mkuu wa Klabu ya Ujamaa Juma Khalfan akizungumza wakati wa ziara ya Ugeni kutoka Jumuiya
isiyo ya Kiserikali ya Go For Zanzibar (GOZA) ya Ujerumani walipofika katika
klabu hiyo kupata maendeleo ya Vijana wa Ujamaa Soccer Academy kwa ajili ya kutoa
vifaa kwa Vijana hao
Meneja Miradi wa GOZA
Mussa Khamis Baucha kukabidhi
vifaa kwa ajili ya Vijana hao na kuelezea
shughuli zinazofanywa na GOZA katika
Nyanja mbalimbali za kuinua Vijana katika maendeleo kutojihusisha na
vitendo viovu, hafla hiyo imefanyika katika klabu ya Ujamaa rahaleo
Unguja.kulia Mwenyekiti wa GOZA Antje Fleischer kutoka Ujerumani.
Meneja Miradi wa GOZA Mussa Khamis Baucha akiwa na mipira ya soksi baada ya kukabidhiwa na Uongozi wa Ujamaa.
Mwenyekiti wa Go For Zanzibar GOZA Antje Fleischer
akimkabidhi mipira Katibu Mkuu wa Ujamaa Juma Khalfan nae akikabidhi mipira ya soksi ambayo ilikuwa ikitumiwa na Watoto katika kucheza mitaani ambayo hutumika kwa kuchezea watoto
mitaani,hafla hiyo imefanyika katika klabu ya Ujamaa Rahaleo Unguja.katikati ni
Meneja Miradi wa GOZA Mussa Khamis Baucha.
Mwenyekiti wa Klabu ya Ujamaa Ameir Makungu akitowa shukrani kwa
Uongozi wa Go For Zanzibar GOZA kwa
ushirikiano wao kwa tamu ya Ujamaa kwa misaada yao mbalimbali wanayotoa kwa
klabu hiyo kwa kuwaendeleza vijana wadogo katika kukuza kifya na vipaji.
katika maendeleo kutojihusisha na
vitendo viovu, hafla hiyo imefanyika katika klabu ya Ujamaa rahaleo
Unguja.kulia Mwenyekiti wa GOZA Antje Fleischer kutoka Ujerumani.
Mwenyekiti Go For Zanzibar GOZA kutoka Ujerumani Bi. Antje Fleischer akiwakabidhi zawdi ya
Krismax Vijana wa Ujamaa Soccer Academy
ili kuweza kusherehekea sikukuu hiyo na mwaka mpya.katikati Meneja Mradi Mussa Khamis Baucha.
Viongozi wa Go For Zanzibar GOZA wakiwa katika
picha ya pamoja na Vijana wa Ujamaa Soccer Academy nje ya klabu ya Ujamaa Rahaleo baada ya
kumalizika kwa hafla hiyo.
Viongozi wa Timu ya Ujamaa Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa GOZA nje ya jengo la Klabu ya Ujamaa Rahaleo Zanzibar.
No comments:
Post a Comment