Mfanyakazi wa Baraza la Manispa Zanzibar akilifungia gari ambayo imeegeshwa katika maeneo yasiyoruhusiwa kuegesha magari katika eneo la Darajani. Kosa hili faini yake hutozwa shilingi 20,000/=
MATUKIO; ASKARI WAWILI WAJERUHIWA AJALI YA MOTO MLANDIZI
-
Na Khadija Kalili, Michuzi Tv
ASKARI wawili wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji wamejeruhiwa wakiwa katika
harakati za kuokoa marehemu waliokuwa wamenasia kweny...
28 minutes ago
No comments:
Post a Comment