Habari za Punde

Msikiti wa asili wa Ijumaa Mkamandume, kisiwani Pemba

BANGO linalotoa taarifa za Msikiti uliojengwa na mtawala aliepata jina la umaarifu Mkamandume eneo la Pujini Wilaya ya Chakechake Pemba karne ya 15 miaka 600 sasa, (Picha na Haji Nassor, Pemba).  

1 comment:

  1. Hii ni Shirki kubwa sana kufikiri kwamba huu msikiti una uwezo wa kukuunganisha na unachokitaka na baadae kuwacha wanyama na chakula hapo.

    SubhanAllah - Mwenyezi Mungu atupe elimu inayotufaa na atunufaishe na elimu alotupa

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.