Habari za Punde

Rais Magufuli Ahudhuria Mazishi ya Dada wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Kijijini Msoga.

 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akimfariji mke wa Rais Mtaafu Mama Salma Kikwete alipowasili kuhudhuria mazishi ya Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, dada wa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015
 Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Rais Mstafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi katika mazishi ya Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, dada yake kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015
 Mbunge wa Chalinze Mhe Ridhiwani Kikwete akimlaki Rais Mstafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi alipohudhuria katika mazishi ya shangazi yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015
 Mama Salma Kikwete akipewa pole na Mama Sitti Mwinyi katika mazishi ya wifi  yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015
 Mama Salma Kikwete akipewa pole na Mama Khadija Mwinyi katika mazishi ya wifi  yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015
 Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Mama Janet Magufuli katika mazishi ya  dada yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015
 Mama Salma Kikwete akimpoke Mama Janet Magufuli katika mazishi ya wifi  yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015
 Rais John Pombe Joseph Magufuli akipokewa na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili kuhudhuria mazishi ya dada yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015
  Rais John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi alipowasili kuhudhuria mazishi ya dada yake Mhe Kikwete Marehemu Tausi Khalfani Kikwete,  kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015. Kushoto ni Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Ghalib Bilal
  Rais John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally alipowasili kuhudhuria mazishi ya dada yake Mhe Kikwete  Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015
 Mama Janet Magufuli (kulia) akiwa na wafiwa kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21, 2015
 Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally akitoa hutba wakati wa mazishi 
 Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally akiongoza swala 
 Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa  mazishi ya dada yake Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, kijijini Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Jumatatu Disemba 21
 Rais Joseph Pombe Joseph Magufuli akiweka udongo kaburini
 Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiweka udongo kaburini
 Ni wakati wa dua baada ya mazishi
Rais Joseph Pombe Joseph Magufuli na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete wakiondoka makaburini baada ya mazishi. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.