Habari za Punde

Zoezi la Utanuzi wa Barabara Mwanakwerekwe Tunguu Laaza kwa Kufanya usafi wa eneo hilo baada ya kuvunjwa Nyumba

 Wapimaji wa Barabara ya Mwanakwerekwe hadi Tunguu wakiwa katika upimaji wa barabara hiyo ili kuaza ujenzi wake. 
Wananchi wa eneo la fuoni maharibiko wakiendelea zoezi la kuvunja nyumba zilizozidi barabarani kupisha utanuzi wa barabara hiyo. 



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.