Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk: Ali Mohamed Shein, akiwa na
Mkurugenzi wa baraza la Mji Mkoani (kulia) Issa Juma Othman na kushoto Mkuu wa
Wilaya ya Mkoani Hemed Suleiman Abdalla, wakishuka njia ya vidaraja wakati rais
huyo akiitembelea
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk: Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na baadhi ya viongozi wa serikali wakati alipowasiliwilaya ya
Mkoani Pemba, kukagua ujenzi wa njia za viadaraja na misngi ya maji ya mvua na
ukarabati wa jengo la afisi ya Baraza la mji wilayani humo
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk: Ali Mohamed Shein akiwa na
mkandarasi wa ujenzi wa Chinjio lililopo Wesha Chake chake Elimeka A. Shuma
akikagua ramani ya jengo hilo.
Mkurugenzi wa baraza la Mji Mkoani Issa Juma Othman akitoa
maelezo ya ujenzi mitaro ya maji ya mvua kwa rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, wakati alipofanya ziara kuangalia
kazi inavyokwenda
Mmoja kati ya mitaro minne iliojengwa na
Baraza la Mji Mkoani kwa fedha za mkopo kutoka Benki ya Dunia, kwa ajili ya
kupitishia maji ya mvua, ambapo rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la
Mapinduzi dk Ali Mohamed Shein aliitembelea, (Picha nja Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment