Habari za Punde

Waziri Aboud azungumza na watendaji wa serikali Mkoa wa Kusini Pemba

 MAAFISA wadhamini Kutoka ofisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, Mhe:Mohamed Aboud Mohamed wakati alipokuwa akitoa tamko la Serikali juu ya Masuala ya Maafa kwa watendaji wa Serikali Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Sueliman, PEMBA.)
 MASHEHA wa Shehia mbali mbali za Mkoa wa kusini Pemba, wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, Mhe:Mohamed Aboud Mohamed wakati alipokuwa akizungumza na watendaji mbali mbali wa Serikali kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Sueliman, PEMBA.)
 MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla akizungumza na viongozi mbali mbali wa Serikali, katika kikao cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, juu ya Tamko la Serikali kufuatia mabadiliko ya hali ya Hewa.(Picha na Abdi Sueliman, PEMBA.)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar,Mhe:Mohamed Aboud Mohamed akizungumza na watendaji mbali mbali wa serikali kisiwani Pemba, juu ya Tamko la Serikali kufuatia mabadiliko ya hali ya Hewa.(Picha na Abdi Sueliman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.