Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar Said wakati wa uzinduzi wa Taa Mpya za Uwanja wa Ndege wa Karume Pemba jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akizindua Taa za Uwanja wa Ndege wa Karume Chakechake Pemba, ikiwa ni moja ya shamra shamra za sherehe za maadhimisho ya Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 52.
Ndege zikiwa katika Uwanja wa Ndege wa Karume Pemba wakati wa Usiku baada ya uzinduzi wa Taa za Uwanja huo baada ya kuzinduliwa rasmin nav kuaza kutoa huduma kwa wakati wote mchana na usiku.
No comments:
Post a Comment