Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya walipokutana kwenye ukumbi wa mikutano katika Ofisi ya Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa Ethiopia, Viongozi hao wanahudhuria mkutano wa 26 wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaojadili masuala ya Usalama Barani Afrika ambapo Makamu wa Rais anamuwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano huo. (Picha na OMR)
WANATAALUMA SUA NA MZUMBE WAIBUA MWELEKEO MPYA WA NISHATI SAFI
-
Na Farida Mangube, Morogoro
Wanataaluma kutoka chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA na chuo kikuu
Mzumbe wameitaka jamii kuchangamkia matumizi ya nishati ...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment