Kikosi cha Timu ya AS Vita kikijinowa kwa kufanya mazoezi katika Uwanja wa Amaan Zanzibar baada ya kuwasili mchana tayari kwa mchezo wake wa kwanza na Timu ya Mafunzo ya Zanzibar mchezo unaotarajiwa kufanyika jumamosi 13-2-2016
Wachezaji wa Kikosi cha Timu ya AS Vita wakiwa katika mazoezi uwanja wa amaan Zanzibar
Viongozi wa Timu ya AS Vita wakifuatilia mazoezi ya timu ya baada ya kuwasili leo mchana na jioni kuaza mazoezi kuzoeya hali ya hewa ya uwanja huo wa Amaan kabla ya mchezo wao.
Kocha Mkuu wa Timu ya AS Vita akifuatilia timu yake wakati wa kuaza mazoezi hayo katika uwanja wa Amaan Zanzibar.
No comments:
Post a Comment