Habari za Punde

Waziri Makamba Azungumza na Balozi wa Denmark Tanzania.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mheshimiwa  January Makamba, akiongea na Balozi wa Denmark Nchini Tanzania Einar Hebogard Jensen aliyemtembelea  Mheshimiwa Waziri  Ofisini kwake.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mheshimiwa  January Makamba,  akimueleza jambo Balozi wa Denmark Nchini  Tanzania Einar Hebogard Jensen alipomtembelea Ofisini kwake jijini Dar Es Salaam. Wengine katika picha na ni maafisa waliongozana na Balozi huyo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.