Habari za Punde

Mkutano wa ufuatiliaji habari za uchaguzi wafanyika Mtwara

 MTANGAZAJI wa Clouds Fm kutoka mkoani Kilimanjaro, Beatrice akielezea changamoto na namna walivyokabiliana navyo mkoani humo, wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana, kwenye mkutano wa siku mbili wa ufuatiliaji wa habari za uchaguzi, uliofanyika Mkoani Mtwara na kuandaliwa na shirika la internews (picha na Haji Nassor alipokuwa Mtwara).
 MWANDISHI wa habari wa gazeti la Nipashe kutoka Zanzibar, Rahma Suleiman akifafanua jambo, kwenye mkutano wa siku mbili wa ufuatiliaji wa habari za uchaguzi, uliofanyika Mkoani Mtwara na kuandaliwa na shirika la internews (picha na Haji Nassor alipokuwa Mtwara).
 AKINAMAMA wauza korosho kutoka mkoani Mtwara Tanzania bara, wakiwahudumiwa wateja wao katika eneo la Bima katikati ya manispaa ya Mtwara, ambapo bei ya korosho ni kati ya shilingi 1000 na shilingi 20,000 kwa ujazo wa kilo moja, (picha na Haji Nassor alipokuwa Mtwara).
AKINAMAMA wauza korosho kutoka mkoani Mtwara Tanzania bara, wakiwahudumiwa wateja wao katika eneo la Bima katikati ya manispaa ya Mtwara, ambapo bei ya korosho ni kati ya shilingi 1000 na shilingi 20,000 kwa ujazo wa kilo moja, (picha na Haji Nassor alipokuwa Mtwara).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.