Habari za Punde

Wizara ya Afya kuadhimisha wiki ya Chanjo Afrika

 MRATIBU wa chanjo kutoka Kituo cha Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Nd. Yussuf Haji Makame, akitoa maelezo kwa waandishi wa habari na maofisa wa afya kutoka wilaya mbalimbali za Unguja juu ya wiki ya chanjo barani Afrika,  inayoanza leo Aprili 23, 2016.
 MWANDISHI wa habari mwandamizi kutoka Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC),  na Mwenyekiti wa mkutano  Sheikh  Said Suleiman, akizungumza katika semina  juu ya umuhimu wa chanjo  ya polio kwa washiriki (hawapo pichani), katika hospitali ya Kidongo Chekundu.
WAANDISHI  wa habari wa vyombo mbalimbali na maofisa wa afya wa wilaya za Unguja waliohudhuria katika mkutano huo. (Picha zote na Abdalla Omar-MAELEZO ZANZIBAR).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.