Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A, Mwinyiussi Abdalla kwa ajili ya kukimbizwa katika Wilaya yake.
Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A, Mwinyiussi Abdalla akiteta kitu na kiongozi wa mbio za Mwenge 2016 George Jackson Mbijima wakati wa sherehe za makabidhia ya Mwenge yaliyofanyika Mfenesini Wilaya ya Magharibi A.
Mmoja wa wakimbiza Mwenge wa Uhuru mwaka 2016 James Sadick Munguji akiongoza mbio hizo katika mitaa ya Mfenesini, Wilaya ya Magharibi A.
Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
No comments:
Post a Comment