Ofisa mdhamini Shirika la Biashara la Taifa (ZSTC) Pemba, Abdalla Ali Ussi, akizungumza jambo kwa Wadau wa Karafuu Kisiwani Pemba katika Semina ya Sheria ya karafuu namba 2 ya mwaka 2014 , huko katika Kiwanda cha mafuta ya makonyo wawi Kisiwani humo.
Mkuu wa mkoa wa Kusini Pemba, Mwanajuma Majid Abdalla, akifungua Semina juu ya Sheria za Karafuu namba 2 ya mwaka 2014 kwa mahakimu, Waendesha mashtaka , na Polisi , huko katika ukumbi wa kiwanda cha Makonyo, Wawi.
Picha na bakar mussa -Pemba.
No comments:
Post a Comment