Habari za Punde

Wanafunzi Kisiwani Pemba Wapata Mafunzo ya Haki za Binadamu.

Afisa Mdhamini wizara ya elimu na mafunzo ya amali Pemba, Salim Kitwana Sururu akifungua mafunzo ya siku mbili, kwa wanafunzi wa skuli za sekondari za mkoa wa kaskazini Pemba, juu ya haki za binadamu yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika afisini kwao Chakechake
Wanafunzi wa skuli mbali mbali za mkoa wa kaskazini Pemba, wakisikiliza mada kadhaa zilizokuwa zikiwasilishwa kwenye mafunzo ya haki binadamu, yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika afisini kwao, mjini Chakechake
Mwafunzi kutoka skuli mmoja ya sekondari ya mkoa wa kaskazini Pemba, akijibu suali la ‘nini maana ya haki za binadamu’ mbele ya mtoa mada Fatma Khamis Hemed, wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, mafunzo hayo yameandaliwa na ZLSC na kufanyika afisini kwao mjini Chakehake.
 Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Siti Habib Mohamed, akiwasilisha mada ya sheria ya mtoto no 6/2011 kwa wanafunzi wa skuli za sekondari za mkoa wa kaskazini Pemba, kwenye mafunzo ya haki za binadamu, yalioandaliwa na kufanyika ZLSC Chakechake.
Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Siti Habib Mohamed, akiwasilisha mada ya sheria ya mtoto no 6/2011 kwa wanafunzi wa skuli za sekondari za mkoa wa kaskazini Pemba, kwenye mafunzo ya haki za binadamu, yalioandaliwa na kufanyika ZLSC Chakechake.
Mwanafunzi kutoka moja ya skuli za sekondari za mkoa wa kaskazini Pemba, akiomba apewe ufafanuzi juu ya sheria ya elimu, kwenye mafunzo ya haki za binadamu yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika afisini kwao mjini Chakechake Pemba. 
Mtoa mada ya sheria ya elimu ya Zanzibar no 6/1982 kutoka wizara ya elimu Pemba, Said Azizi akiwasilisha sheria hiyo kwa wanafunzi wa skuli za sekondari za mkoa wa kaskazini Pemba, kwenye mafunzo ya haki za binadamu, yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, 
(Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.