Habari za Punde

Mkuu wa Mkoa wa M/Magh azindua mafunzo ya ujasiriamali jimbo la Fuoni

 Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Ayoub Mohammed, akiwa katika uzinduzi wa mafunzo ya ujasiri amali katika sakosi ya jimbo la Fuoni, wanasakosi hao walikuwa na uzalishaji wa sabuni dawa za kutolea madoa , majani ya yachi, jam ya tomato, unga wa uji, dettol ya asali,
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub 

Mohammed, akikagua baadhi ya bidhaa zinazotengenezwa 

na Sakosi ya Jimbo la Fuoni ambapo alikuwa mgeni rasmi 

katika mafunzo ya Sakosi hiyo,
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub 

Mohammed,akizungumza na wanasakosi wa jimbo la Fuoni 

wakati alipozindua mafunzio ya sakosi hiyo

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.