Habari za Punde

Wanafunzi wa Madrasah zilizo chini ya Taasisi ya Samael wakifanya mitihani, Pemba


Wanafunzi wa Madrasa za Qur'aan , ambazo ziko chini ya taasisi ya Samael katika Wilaya ya Chake Chake Kisiwani Pemba wakifanya mitihani ya Somo la Kiarabu kwa lengo la klujifunza lugha hiyo itakayowasaidia kuelewa vyema Dini ya Kiislamu.

Picha na Bakar Mussa, Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.