Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na
Mazingira Mh. January Makamba akiongea na ujumbe toka Benki ya Dunia
uliomtembelea Ofisini kwake kuzungumza kuhusu masuala ya mazingira Nchini.(Picha na OMR)
Aliyekuwa Mwenyekiti Wa Halmashauri ya Missenyi Ateuliwa kugombea Ubunge
-
Na Diana Byera,Missenyi
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi Projestus
Tegamaisho ameteuliwa na kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi (...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment