Katibu wa Uchukuzi Sports Club Bw. Alex Temba
akimkaribisha Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt.
Leornard Chamuriho kabla ya kumkabidhi baadhi ya vikombe 11 ambavyo timu ya
uchukuzi imeshinda katika mashindano ya mei mosi yaliyofanyika mapema mwezi mei
mkoani Dodoma katikati ni Mkurugenzi waUtawala
na Rasilimali Watu wa Wizara hiyo
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho kulia akopokea moja baadhi ya vikombe 11
ambavyo timu ya uchukuzi imeshinda katika mashindano ya mei mosi yaliyofanyika
mapema mwezi mei mkoani Dodoma, anayemkabidhi ni Katibu wa Uchukuzi Sports Club
Bw. Alex Temba
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho kulia akopokea cheti cha ushiriki wa mashindano ya mei mosi yaliyofanyika mpema
mwezi mei mkoani Dodoma, anayemkabidhi
ni Katibu wa Uchukuzi Sports Club Bw. Alex Temba
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho kulia akipokea zawadi ya jezi kutoka kwa
Katibu wa Uchukuzi Sports Club Bw. Bw. Alex Temba mara baada ya kupokea vikombe
11 ambavyo timu ya uchukuzi imeshinda katika mashindano ya mei mosi
yaliyofanyika mpema mwezi mei mkoani Dodoma, kati ya hivyo vikombe 5 vilitolewa
na Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe
Magufuli vikiwa ni ushindi wa kwanza katika netball Kamba,Baiskeli na Bao
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho aliyeshika Kikombe akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya viongozi na wachezaji wa timu ya Uchukuzi Sports Club mara
ya kupokea vikombe na vyeti vya ushindi wa timu hiyo katika mashindano ya mei
mosi yaliyofanyika mapema mwezi mei mkoani Dodoma. (Picha na Benjamin Sawe- Maelezo)
No comments:
Post a Comment