Habari za Punde

Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli Aongoza Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa Mjini Dodoma leo.

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akiweka Sime katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma leo Julai 25, 2016
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akiweka Sime katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma leo Julai 25, 2016
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akiweka Ngao katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashujaa mjini Dodoma leo
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akiweka Ngao katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashujaa mjini Dodoma leo
Amiri Jeshi Mkuu Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia Wananchi wa Mji wa Dodoma wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliofanyika Mkoani Dodoma,baada ya kuweka silaha za jadi katika  Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashujaa mjini Dodoma leo
 Amiri Jeshi Mkuu Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia Wananchi wa Mji wa Dodoma wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliofanyika Mkoani Dodoma,baada ya kuweka silaha za jadi katika  Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashujaa mjini Dodoma leo
Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiongea wakati wa Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma leo
Rais wa Zanzibar wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akihutubia wakati wa Madhimisho ya Siku ya Mashuja yaliofanyika katika viwanja vya mjini Dodoma leo
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi wakimpongeza Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Malecela baada ya kuongea na wananchi kwenye Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma leo Julai 25, 2016
Picha na Ikulu.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.