Utaratibu uliowekwa na Baraza la Manispa Zanzibar ujenzi wa mashamiana kwa ajili ya Wafanyabiashara katika viwanja vya sikuku vya mnazi mmoja yamekamilika ujenzi wake huo na kusubiri wahusika kukodishwa kwa ajili ya biashara wakati wa Sikukuu ya Eid Fitry inayotegemewa kusherehekewa wiki ijayo baada ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kumalizika na kuungana nma Waumini wa Dini ya Kiislam duniani kote kusherehekea sikuku hiyo.
RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi
Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na
Polisi k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment