Utaratibu uliowekwa na Baraza la Manispa Zanzibar ujenzi wa mashamiana kwa ajili ya Wafanyabiashara katika viwanja vya sikuku vya mnazi mmoja yamekamilika ujenzi wake huo na kusubiri wahusika kukodishwa kwa ajili ya biashara wakati wa Sikukuu ya Eid Fitry inayotegemewa kusherehekewa wiki ijayo baada ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kumalizika na kuungana nma Waumini wa Dini ya Kiislam duniani kote kusherehekea sikuku hiyo.
MRADI WA IPOSA WAONGEZA NGUVU KWA WALIMU KUWAFIKIA VIJANA NJE YA SHULE
-
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha, akizungumza leo Mei
23,2025 wakati akifunga mafunzo kwa walimu na viongozi wa Mradi wa IPOSA
katika mkoa...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment