MRADI WA IPOSA WAONGEZA NGUVU KWA WALIMU KUWAFIKIA VIJANA NJE YA SHULE
-
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha, akizungumza leo Mei
23,2025 wakati akifunga mafunzo kwa walimu na viongozi wa Mradi wa IPOSA
katika mkoa...
10 hours ago
Hili ndio soko kuu kwa sasa hapa Zanzibar, ingependeza kama wahusika wa soko wakaboresha mandhar ya ndani ya Hilo soko kwa angalau kuundosha maturubali ya ovyo Ovyo na kuweka mfano wa mashamiana ya kufahamika na yenye hadhi inayoendanda na soko kuu.
ReplyDeleteMaskini zanzibar mambo yote ni shaghalabaghala tu, hatuna mji hatuna soko, mambo yako ovyo ovyo tu, soko kuu hakutambulikani, halina hadhi hasa ya soko kuu, bidhaa, matunda na vyakula vyengine vinauzwa Chini kabisa, halafu tunafuta mchawi wa kipindupindu, jamani hebu tubadikeni kidogo, twende kama angalau majirani zetu.
ReplyDelete