SERIKALI KUJENGA KITUO CHA KUPOZA UMEME NA SWITCHING STATION SONGWE- MHE.
KAPINGA
-
-- Lengo ni kuimarisha upatikanaji umeme mkoani Songwe
--- Uboreshaji wa miundombinu ya umeme unaendelea
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesem...
50 minutes ago
Hili ndio soko kuu kwa sasa hapa Zanzibar, ingependeza kama wahusika wa soko wakaboresha mandhar ya ndani ya Hilo soko kwa angalau kuundosha maturubali ya ovyo Ovyo na kuweka mfano wa mashamiana ya kufahamika na yenye hadhi inayoendanda na soko kuu.
ReplyDeleteMaskini zanzibar mambo yote ni shaghalabaghala tu, hatuna mji hatuna soko, mambo yako ovyo ovyo tu, soko kuu hakutambulikani, halina hadhi hasa ya soko kuu, bidhaa, matunda na vyakula vyengine vinauzwa Chini kabisa, halafu tunafuta mchawi wa kipindupindu, jamani hebu tubadikeni kidogo, twende kama angalau majirani zetu.
ReplyDelete