DKT POSSI AHIMIZA UWAJIBIKAJI BARAZA LA WAFANYAKAZI LA TCAA
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Ali Possi akiwasilisha hotuba
ya ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la TCAA linalofanyika
Morogoro
...
2 hours ago
Hili ndio soko kuu kwa sasa hapa Zanzibar, ingependeza kama wahusika wa soko wakaboresha mandhar ya ndani ya Hilo soko kwa angalau kuundosha maturubali ya ovyo Ovyo na kuweka mfano wa mashamiana ya kufahamika na yenye hadhi inayoendanda na soko kuu.
ReplyDeleteMaskini zanzibar mambo yote ni shaghalabaghala tu, hatuna mji hatuna soko, mambo yako ovyo ovyo tu, soko kuu hakutambulikani, halina hadhi hasa ya soko kuu, bidhaa, matunda na vyakula vyengine vinauzwa Chini kabisa, halafu tunafuta mchawi wa kipindupindu, jamani hebu tubadikeni kidogo, twende kama angalau majirani zetu.
ReplyDelete