Kijicho cha Kampuni ya Kichina inayojenda Mitaro ya kupitishia Maji katika maeneo mbali mbali ya Zanzibar ikiendelea na mradi huo kwa ujenzi wa mtaro huo katika eneo la chumbuni Zanzibar wakichimba barabara kwa ajili ya kupitisha mabomba makubwa ya kupitishia maji kutoka maeneo ya welezo kuelekea eneo la mtaro uaokwenda katika bahari ya maruhubi.
KALLEIYA- VIONGOZI 20 CCM KIBAHA MJINI WAACHIA NGAZI KWA NIA YA KUGOMBEA
UDIWANI
-
Mwamvua Mwinyi, Kibaha
Viongozi 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, mkoani
Pwani—wakiwemo Wenyeviti, Makatibu na Makatibu wa Jumuiya
mbali...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment