Wachuuzi wa Samaki katika manispa ya Zanzibar wakiwa katika pwani ya Malindi wakisubiri wavuvi kurudi bahari ili kupata samaki katika mnada wa soko hilo, ndoo moja ya dagaa osha osha iliuzwa kati ya shilingi 7000/= katika mnada huo.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment