Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, mheshimiwa Zubeir Ali Maulid (wa kwanza kushoto) akibadilishana mawazo na Meya wa Mji wa Port Lois nchini Mauritius, Bwana B.Oumar Kholeegan (katikati), kulia ni mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar, Mheshimiwa Simai Mohammed Said (Mpakabasi). Mheshimiwa Spika Zubeir yuko nchini Mauritius kuhudhuria Mkutano wa 47 wa Umoja wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola Kanda ya Afirika (CPA African Region).
RAIS SAMIA AIPA TANROADS BIL 66 KUANZA UREJESHAJI MIUNDOMBINU YA BARABARA
ILIYOHARIBIKA
-
Na Mathias Canal
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa
Bilioni 66 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya bar...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment