Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo kuhusu utekelezaji wa Programu ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020,mazungumzo hayo yamefanyika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja jana,[Picha na Ikulu.] 06/09/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo kuhusu utekelezaji wa Programu ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020,mazungumzo hayo yamefanyika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja jana,[Picha na Ikulu.] 06/09/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,utamaduni na Michezo kuhusu utekelezaji wa Programu ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020,mazungumzo hayo yamefanyika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja jana,[Picha na Ikulu.] 06/09/2016.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Utalii,utamaduni na Michezo Nd,Omar Hassan Omar akisoama baadhi ya vifungu wakati wa mkutano wa siku moja wa Wizara hiyo uliozungumzia utekelezaji wa Programu ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja jana, [Picha na Ikulu.] 06/09/2016.
Mkurugenzi wa ZBC Tv Ng,Aiman Duwe akitoaufafanuzi mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja jana wakati wa mkutano wa siku moja wa Wizara ya Habari,Utalii,utamaduni na Michezo uliozungumzia utekelezaji wa Programu ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020,, [Picha na Ikulu.] 06/09/2016.
Baadhi ya Viongozi wa Idara za Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara hiyo kuhusu mpango wa utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020,mazungumzo hayo yamefanyika jana katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 06/09/2016.
Mshauri wa Rais Utamaduni Mhe,Chimbeni Kheir (kushoto) akichangia wakati wa Mkutano wa siku moja wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo uliozungumzia utekelezaji wa Programu ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020,uliofanyika jana katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja, (kulia) Naibu Waziri wa Wizara hiyo Chumu Kombo Khamis,
[Picha na Ikulu.] 06/09/2016.
No comments:
Post a Comment