Habari za Punde

Mkutano wa kuelimisha haki za kiraia na sheria zinazowahusu wananchi, shehia ya Kisiwani kwa Binti Abeid

 AFISA Mipango wa Kituo Cha Huduma za Sheria Zanzibar ofisi ya Pemba, Mohamed Hassan Ali, akiwasilisha mada ya sheria katika mkutano wa kuelimisha haki za kiraia na sheria zinazowahusu wananchi, huko katika shehia ya Kisiwani kwa Binti Abeid Wilaya ya Wete.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MRATIB wa Kituo cha Huduma za sheria Zanzibar Ofisi ya Pemba, Fatma Khamis Hemed akiwasilisha mada ya sheria ya Mzanzibari Mkaazi, kwa wananchi wa Kisiwani kwa binti Abeid Wilaya ya Wete, katika mkutano wa kuelimisha haki za kiraia na sheria zinazowahusu wananchi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
AFISA Mipango wa kituo cha Huduma za sheria Zanzibar ofisi ya Pemba, Halfan Amour Mohamed, akiwasilisha mada ya sheria ya kitambulisho cha Taifa, kwa wananchi wa kisiwani kwa Binti Abeid Wilaya ya Wete, katika mkutano wa kuelimisha haki za kiraia na sheria zinazowahusu wananchi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.