Habari za Punde

Mradi wa Accra Kwa Uhifadhi wa Mji Mkongwe Zanzibar.

Vijana wa Mradi wa ACCRA wakiwa katika harakati za kuyafanyia matengenezo majengo ya Mji Mkongwe ili kuimarisha majengo hayo katika hifadhi yake na kuzidi kuvutia katika haiba yake ya zamani kama walivyokutwa vijana hawa wakiufanyia ukarabati mlango wa Zanzibar katika mtaa wa Hamamni. 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.