Vijana wa Mradi wa ACCRA wakiwa katika harakati za kuyafanyia matengenezo majengo ya Mji Mkongwe ili kuimarisha majengo hayo katika hifadhi yake na kuzidi kuvutia katika haiba yake ya zamani kama walivyokutwa vijana hawa wakiufanyia ukarabati mlango wa Zanzibar katika mtaa wa Hamamni.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Awahutubia Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja Akiendelea na Mikutano yake ya Kampeni
-
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mwenyekiti wa
CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu
H...
51 minutes ago
No comments:
Post a Comment