Vijana wa Mradi wa ACCRA wakiwa katika harakati za kuyafanyia matengenezo majengo ya Mji Mkongwe ili kuimarisha majengo hayo katika hifadhi yake na kuzidi kuvutia katika haiba yake ya zamani kama walivyokutwa vijana hawa wakiufanyia ukarabati mlango wa Zanzibar katika mtaa wa Hamamni.
Kuhitimisha zaiara zake za kuwatembelea wagonjwa katika mikoa yote unguja
na pemba
-
Na.Mwandishi OMWR.
Mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo Mhe. Othman Masoud Othman, amesema
kwamba amewataka viongozi wa chama hicho katika ngazi mbali...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment